Kitabu hiki kinaleta mwangaza kuhusu uzima wa Mungu kama unajiulizaka kwa mfano; Mungu alianza-je, iko wapi , kwanini aonekanake, iko na rangi gani, ni muzuri ao ni mubaya? Basi soma kitabu hiki utapata majibu N.B: kuisoma maandiko haya kunaleta heri nyingi.